Dakar, Senegal - 28/01/2012. Mahakama kuu nchini Senegal imetoa 
uamuzi ya kuwa rais wa sasa anaweza kugombea kitu cha urais kwa mara ya 
tatu kwa kufuatia sheria ya nchi inavyo sema.
uamuzi wa mahakama ulisema "Rais Abdoulaye Wade 85, ambaye ameruhusiwa 
kugombea kiti cha urais, baada ya kutimiza mashrti ambayo yanatakiwa 
mgombea kuyatimiza."
Kufuataia uhamuzi huo wa mahakama, maelfu ya wanchi wa Senegal 
wameandamana kupinga jambao ambalo limesababisha polisi wa kuzuia ghasia
 kutumia nguvu  kuwatawanya waandamanaji.
Naye mwanamuziki maarufu duniani Youssou Ndour, ambaye alikuwa 
anatarajiwa kugombea kiti hicho cha urais, na aliyekuwa mpinzani mkubwa 
katika kupinga kitendo cha rais Wade kugombea tena kiti cha urais 
amezuiliwa kugombanaia kiti hicho.
Uchaguzi wa urais nchini Senegal unatarajiwa kufanyaika Februari 36....by nuhu85
 
 
 

 
 
No comments:
Post a Comment