Generation Xix

TXT

TOURISM

NMB

TTCL

TTCL

Tuesday, 9 June 2009

Miles away searching Nuhu II


Both Nuhu and Eliasi smiling after a short period of chatting .in this day Nuhu was arriving from Masukanzi village in Kilolo district were he went for field trip. According to Nuhu the trip was good as he manage to learn how the local community live and coordinate their work. Knowledge of local community in what is going on in this global arena it’s not well but somehow.

Appreciation to Minnesota friends {Pr. Bonnie}


Minnesota friends {Pr. Bonnie, Joan, Cheryl, Shelly, Anna, Wes, Nola and Marilyn also Joe} under a leadership of Pr Bonnie We real appreciate your work our beloved friends in trying to save us and make us move from were we are to the next level so that minority who manage to succeed be able to share the fruit of success with majority. It’s good to know that you both consider humanity and searching our betterment for future. Thanks in advance. Say’s “Nuhu”

P.bonnie, Shelly and Matt at Mkimbizi in Iringa


Here they were living after having a dinner. Were Dinner was by invite. One of the women who Pr. Bonnie sponsored Consolata (sp) invited them into her home. According to them It was delightful to see her home and to meet her very large family. There were many family members there - one being a bright young man named Nuhu.

Tumaini university Aerial photograph view


This is my campus its look very nice with a green glass a good space for the student to share material and also to get fresh air. It’s a nice place your welcome. By Nuhu

Tumaini view II


Good environment with full of space and clean area its nice real to be here

Tumaini Basketball ground


Talking of spots and other game Tumaini its full of games and we thanks the administration for providing us with the area to show our talent, here is the basketball ground as it is seen its looking good

Community Development Meeting place


This place is so nice what imp race me is that this place is the powerful place among all the place around our university were student meet and exchange their idea after classes. If you come across and see the number of student who like this place you will defiantly say it’s a amazing place. By Nuhu

Grolicious Meremo with friends


Glory meremo the one with blue top. Poses with her friend in UK it has been two year now since I saw this girl. Real I admit that I miss here very much. And I think she also remember the time we use to spend together but For what happened to me two years ago in life I leaned that friends are snake with a dangerous poison. I was not ready to loose Glory in any way but things happen and some of my best friend get into the game and things get over it real pain me maybe until my last breath I will be peace with myself. This for you Glory ‘You have gone but remember life was mean for us to be together”

Monday, 11 May 2009

mapambano dhidi ya ukimwi


Ndivyo wanavyoonekana kujadili. Hawa ni baadhi ya vijana waliopo shule za sekondari. Hapa ni Silver Sand Camping & Site ulipofanyika mkutano mkuu wa kitaifa wa kutimiza miaka 10 wa shirika lisilo la serikali la Femina Hip.

president kikwete


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tz, Mh JK ni kama vile anamwambia Rais wa Burkina Faso "Muungano wetu hautatetereka, nitaulinda na kuutunza kwa kuuimarisha zaidi"kama namsikia vile........................mambo ya CCM hayo 2010 mambo yatakuaje jiulize

Ziara ya falme za kiarabu


Ziara ya Shaikh Saud bin Saqral Al Qasimi ambaye ni Naibu mtawala wa Ras al Khaiman inaweza ikafungua milango ktk suala zima la uwekezaji hapa nchini Tanzania. Ras Al Khaiman ni miongoni mwa nchi 7 zinazounda muungano wa EMIRATES. Kiuchumi jumuiya ya EMIRATES wamepiga hatua. Ni vema basi viongozi wetu wajifunze mengi toka kwa kiongozi huyo ili kuinua na hatimaye kukuza uchumi wa nchi yetu. Pengine ziara hii ni mojawapo ya matunda ya ziara za viongozi kwa nchi za kiarabu.

kutangaza vivutio Tanzania


katika kuonesha nia thabiti ya kimaendeleo Serikali ya Tanzania imedhamiria kuvitangaza vivutio vilivyopo nchini. Hapa ni siku ujumbe wa Tanzania ulipokitembelea chuo kikuu cha New York kwa ajili hiyo. Timu iliongozwa na Mh. Jumanne Maghembe (Waziri wa maliasili na utalii-wa tatu toka shoto). Pia alikuwepo balozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Mh. Mahiga-wa nne toka kulia. ni hatua nzuri na yakupongezwa keep it up

Monday, 4 May 2009

former goup 3


yaaani mzuka sana at dis time tulikua tunakula gud time vipindi havitubani but since tumeingia semester ya pili mambo magumu hata kukaa pamoja kama marafiki inakua ngumu bt we mic each other as a group.............

Monday, 27 April 2009

kesi ya EPA Rajabu maranda


Mtuhumiwa wa kesi ya EPA Rajabu Maranda(kushoto) akiongea na simu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam janakabla ya kuingia katika chumba cha Mahakama hiyo kwa ajili yakusikiliza kesi inayomkabili

Barabara sumbawanga


Wananchi wakipita pembeni mwa mawe yaliyowekwa katika barabara ya Mtaa wa Kiwelu katika Manispaa ya Sumbawanga kwa zaidi ya miezi mitano na hivyo kusababisha usumbufu kwa watumiaji.

BSS 2009


Mkurugenzi wa Benchmark Ritha Paulsen akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu mafanikio ya ziara ya Mikoani ya kutafuta wasanii wenye vipaji inayojulikana kama bongo Star search ambapo jumla ya wasanii 800 wamepatikana.Meneja Udhamini wa Vodacom Emillian Rwejuna

DECI morogoro


Baadhi ya wanachama wa Deci wakiwa katika tawi la Morogoro jana huku ofisi zikiwa zimefungwa wakitafakari kuhusu hatma ya fedha zao walizopanda.jamani vya bure hiviiiii

Ajali matumbi tabata


Wakazi wa eneo la Matumbi Tabata jijini Dar es Salaam wakimwangalia mwendesha pikipiki aliyejeruhiwa katika ajali iliyotokea katika eneo hilo jana. Kumekuwa na ongezeko la ajali za wapanda pikipiki kutokana na madereva wa magari kutowajali watumiaji hao wa barabara.

E.P.A na wahindi


Watuhumiwa wa kesi ya EPA Farijala Hussein (kulia) na mshitakiwa mwenzake Ajay Somani wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana wakisubiri kuanza kusikilizwa kesi inayowakabili mahakamani hapo

Usafili kero?


Wasamalia wema wakimasaidia mpanda pikipiki (mwenye kofia), kuinua pikipiki yake baada ya kutumbukia nayo eneo la Tazara Dar es Salaam jana wakati alipokuwa akikwepa gari lilikuwa likitaka kungonga.balaaaaaaa.duuuuuuu

Kwaheri kandoro


Rais Jakaya Kikwete, akiagana na Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein kwenye Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam, jana kabla ya akielekea nchini Botswana kwa ziara ya siku mbili ya kiserikali. Katikati ni aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Abbas Kandoro.

Saturday, 25 April 2009

Transpotation iringa


Abiria mkazi wa Rujewa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya akisoma bei ya nauli ya safari yake kabla ya kuanza safari leo mchana kama alivyokutwa na camera ya blog hii leo mjini Rujewa ,utaratibu huu unauonaje unaweza kusaidia kupunguza kero za abiria kutozwa nauli zaidi? nitumie maoni yako sasa

Takataka iringa


HAPA NI STENDI KUU YA WILYA YA NJOMBE PAMOJA NA WAFANYABIASHARA KUTOZWA USHURU WA KUFANYIA USAFI WA ENEO HILO BADO WILAYA IMESHINDWA KABISA KUONDOA TAKA ZILIZOHIFADHIWA KATIKA NYOMBO HIVI UNAWEZA KUJIULIZA KUWA NI HIVI NI VYOMBO VYA KUHIFADHIA TAKA AMA TAKA ZA VYOMBO ?

Tuelimike juu ya Utaifa


wengi walizani kua mhindi kunaweza kuku fanya usipewe u miss kumbe kwa wadau ikawa ndivyo sivyo.umefika wakati watanzania tukaelewa nini maaana ya utaifa sio tu Rangi iwe kikwazooo..chukua hiyo kama unataka.photo by Nuhu

Friday, 17 April 2009

MSHITAKIWA WA MAUAJI


Mshitakiwa wa kesi ya mauaji Rashidi Salum akiwa amedhibitiwa na askari wa Zimamoto baada ya kujitupa chooni ili kukwepa kesi hiyo.
9/9/2008

IKULU


Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake. Dr. Shein katika picha ya pamoja na baadhi ya wasanii hivi katibuni Ikulu.9/2/2009

REDDS mabalozi


Hawa ni mabarozi wa REDD's Tanzania kutoka kushoto ni Joketi aliyekuwa mwaka 2006, anayefuatia ni Victoria 2007 na wa mwisho ni Anjela mwaka huu hata hivyo amelivua taji hilo kwa shinikizo la wazazi wake.
8/25/2008

Miss vodacom


Hapa ni dar cheki ukumbi ulivyopambwa kumbe na sisi tunaweza hii ni Leaders Clab ambapo mashindani ya kumtafuta Miss Vodacom tanzania 2008 yalifanyika.
8/13

MATUMIZI YA NISHATI YA KUNI


wingu la moshi lilitoka katika soko la kukaangia samaki la Feri, Dar es Salaam jana, moshi huo unatokana na soko hilo kutumia nishati ya kizamani ya kuni ambayo hukaribu mazingira pamoja na na paa la jengo hilo na kuonekana kama limejengwa zaidi ya miaka 50 iliyopita. uongozi wa soko hilo ni budi kutafuta njia mbadala ya nishati badala ya kuni. Picha na Emmanuel Herman

Unfogetable Rwanda 1994


Hivi karibuni, nchi ya Rwanda iliadhimisha miaka 15 tangu yalipotokea mauaji ya Kimbari yaliyosababisha vifo vya karibu watu milioni moja.
Nchini Tanzania, ubalozi wa Rwanda uliandaa sherehe fupi ili kukumbuka na mauaji hayo na kupanga mikakati ya kuzuia yasitokee tena.
Akihutubia katika sherehe hizo, Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Zeno Mutimura, anasema,
"Tunapoadhimisha miaka 15 ya mauaji ya Watutsi wa Rwanda, tunapaswa pia kujitazama tuko wapi, tunatoka wapi na tunaelekea wapi kama Taifa. Katika hali kama hiyo tunapaswa kuwa na majibu kwa maswali magumu kama yafuatavyo,
Nini chanzo, mchakato na utekelezaji wa mawazo yaliyosababisha mauaji ya Rwanda?
Mauaji ya kimbari ni asili ya Rwanda au yanaweza kutokea sehemu yoyote duniani?
Tumefanya au tunafanya juhudi gani sisi kama serikali ili kufuta giza nene lililoifunika historia yetu?
Je, tumepata somo gani kutoka kwenye mauaji hayo kama Rwanda wenyewe na ulimwengu kwa ujumla?”
anasema Balozi Mutimura.
Akieleza chanzo, athari na mipango ya Wakoloni iliyosababisha mauaji ya Kimbari ya Rwanda, Balozi Mutimura anasema,
"Kwa karne kadhaa Wanyarwanda wamekuwa wakitumi lugha moja, utamaduni mmoja na mazingira mamoja kama watu wa Taifa moja. Lakini utawala wa kikoloni ulifanya mbinu za kujjenga makundi ya kikabila na kuchochea chuki za kikabila pale walipoanzisha vitambulisho vilivyoainisha asili ya watu kikabila.
Hakuna anayeweza kupuuzia athari zilizotokana na mauaji hayo . Moja kati ya kumbu kumbu za mauaji hayo katika nchi yetu kama ilivyo kwa nchini nyigine yalipotokea, ni dhana ya mauaji na tabia yake ya kujirudia.
Ndiyo maana hili neno 'Mauaji ya kujirudia' limewekwa limepandikizwa na watekelezaji wa mauaji ya Wanyarwanda na wafadhili wao wa nje. Ili kuendeleza chuki dhidi ya Watutsi, wauaji hao wanaeneza fikra potofu kwamba kulikuwa pia na mauaji ya Wahutu yaliyotekelezwa na chama RPF na serikali ya Rwanda". anasema Balozi Mutimura.
Akieleza athari za dhana ya kulipiza kisasi katika mauaji ya kimbari, Balozi Mutimura anasema,
"Wauaji hawa wanaendelea kuua waliosalimika kwenye mauaji hayo. Hii inafanyika kama mpango unaoendelea wa kuwamaliza Watutsi ndani na nje ya nchi. Wanaendelea kuwaua waliosalimia ili kupoteza ushahidi unaopelekwa kwenye mahakama za jadi (Gacaca) na ile ya Mauaji ya Rwanda (ICTR) iliyoko Arusha. Wauaji hao walijaribu hata kulipua Makumbusho ya mauaji hayo."
Jambo la pili ni kuungana na Wafadhili wa nje wa mauaji hayo. Hii inafanyika kwa njia nyingi ikiwemo ya kuwatuhumu maafisa wakubwa wa jeshi la Rwanda kuwa walihusika na mauaji hayo wakati wao ndiyo waliojitahidi kuzuia mauaji hayo.
Mfano mzuri ni kukamatwa kwa Rose Kabuye aliyekamatiwa Ujerumani na kupelekwa Ufaransa akihusishwa na kudungua ndege iliyokuwa imembeba Rais Habyarimana.
Wakati tunayashuhudia mambo haya, tuna matumaini kuwa huu utakuwa mwisho wa udhalimu wa kimataifa unaotekelezwa na majaji kama vile Louis Brougierre na wengineo wan chi za Magharibi.
Jambo la tatu ni vita vinavyoendelea mashariki ya Congo. Wapiganaji wa Interahamwe walioshindwa vita Rwanda sasa wamejikusanaya katika muungano wao wa FDRL na kuunda jeshi ambalo limeanzisha mapambanao huko mashariki ya Congo.
Kwa nyakati tofauti wamekuwa wakiua Wa Congo wasio na hatia kwa lengo lile lile la mauaji ya Rwanda kwenye mipaka ya Rwanda.
Ieleweke kwamba mwezi February mwaka huu, Serikali za Rwanda na DRC zimeunda umoja wa kijeshi unaojulikana kama UMOJA WETU ambao sasa umeiharibu ngome ya FDRL iliyoko mashariki mwa DRC na kuwakamata baadhi ya wapiganaji na wengine wamekimbilia Rwanda. Walikuwa zaidi ya 1000.
Tunaamini kuwa umoja huu utakuwa endelevu na wenye mafanikio makubwa hasa kwa nchi za maziwa makuu. Tunaamini kuwa huu ni mkakati wa ndani utakaomaliza matatizo ya Afrika.” anasema Balozi Mutimura.
Akitoa tahadhari kwa nchi nyingine kuhusu mauaji hayo, Balozi Mutimura anasema,
"Kimsingi mauaji ya Rwanda yalitokea kwasababu ya utawala mbaya wa kikoloni yaliyo uliokuwa ukipinga uzalendo. Utawala wa Kayibanda na Habyarimana baada ya ukoloni uilirithi na baadaye kutekeleza siasa za kikoloni nchini Rwanda mpaka rwanda ilipoingia kwenye mauaji ya kutisha yaliyoishtua dunia.
Haya yanaweza kutokea popote duniani kuliko na uongozi wa aina hii.
Serikali ya Rwanda imekuwa ikifanya jitihada mbali mbali kufuta giza lililofunika historia yetu. RPF ilikomesha mauaji ya kimbari na kuanzisha serikali ya umoja wa kitaifa mnamo tarehe 19 Julai 1994 uliokuwa umepotea katika siasa na uchumi na kijamii.”
Hata hivyo bado Rwanda ina changamoto mbele yake,
"Changamoto iliyopo ni kuimarisha hali hii ili kuponya matatizo yaliyokuwepo yasitokee tena. Leo hakuna ubishi tena kwamba Rwanda imepata mafanikio ya kichumi, siasa na kijamii katika malengo yake ya mwaka 2020."
kutokanana na matatizo tuliyoyarithi baada ya kukomesha mauaji ya kimbari, tumeanzisha juhudi za awali ili kusuluhisha matatizo hayo.
Ndiyo maana tumeanzisha mahakama za Gacaca zenye mfumo wa kitamaduni uliokuwepo kabla ya wakoloni. Tulifikia hatua hiyo wakati nchi ilipokuwa inawashikilia watuhumiwa wa mauaji hayo zaidi ya 120,000 katika magereza.
Tangu wakati huo, Mahakama za Gacaca zimeshaamua kesi milioni moja na nusu kabla ya kumaliza muda wake baadaye mwaka huu.
Mahakama za kawaida nazo zimeshaamua kesi 10,000 wakati Mahakama ya Kimataifa ya kesi za Rwanda (ICTR) imeshaamua kesi 35 tu baada ya kutumia zaidi ya bilioni za dola za Marekani.”
Balozi Mutimura antoa ushauri kwa nchi nyingine,
"Uongozi wowote unaoendesha siasa za kuwagawa watu, unaweza kuwafikisha wananchi wake kwenye machafuko kama haya yaliyoifika Rwanda mwaka 1994.
Kushindwa kumaliza rushwa miongoni mwa viongozi, pia inaweza kuwa sababu yakuifikisha nchi kwenye machafuko. Tunaamini kwamba yaliyotokea Rwanda kwa siala la kuendeleza uchumi na jamii na msimamo wa kisiasa baada ya mauaji ya mwaka 1994, yatakuwa somo kwa jumuiya ya kimataifa." anasema Balozi Mutimura

Marcio maximo


Kocha wa Taifa Stars, Marcio Maximo, amesema atatumia pambano la Yanga, Simba kuchagua timu mpya.tuna matumaini makubwa na wewe mkuu hatuna shaka ulipo tufikisha panatupa matumaini makubwa

KIFO CHA DECI


lifi tutafanikiwa kuutua mzigo wa matatizo,natumai mungu akipenda.daima tutawakumbuka woe walio na mapanzi na nchi yetu.lipi litakua size yetu kama yote hayatufai?????????????????

Mahakamani


Balozi wa zamani wa Tanzania nchini Italia, Prof Costa Mahalu, akiwa Mahakamani ambako yeye na mshtakiwa mwenzake wamepatikana na kesi ya kujibu.

Wednesday, 1 April 2009

visitation


Pastor Bony,sherry and matt wakiwa mkimbizi
2009
We had a more relaxed day today. After breakfast Joe and Matt left to examine a well project and some of the ladies wanted to get measured for dresses. So, we all sorta went our separate ways. Pr. Bonnie, Joan, Cheryl, Shelly and Anna went to the market. It was fun to barter for the souvenirs we bought. Pr. Bonnie explained the bartering system. You don’t barter for essentials but souvenirs, the pieces of cloth we bought, etc. are up for bartering. Anna was doing a great job -Dinner was by invite. One of P.bonny friend invited us into his home. It was delightful to see him. There were many family members there - one being a bright young man named Nuhu.Today’s funny: Pr. Bonnie is an interactive listener. She asked Nuhu his name and how to spell it. He carefully spelled Nuhu (Noah) and then gave his second name, Peter. “How do you spell that?” Pr. Bonnie asked.We will never forget P - E - T - E - R (soooo very funny!) With each letter he gives, she is intently listening and writing it down and nodding, yes, yes. We told Pr. Bonnie that we hope it doesn’t come up in a future gospel lesson and that she doesn’t see any of us in the congregation because we will most certainly crack up and get her cracking up as well.

Baada ya masomo


ni baada ya masomo vijana wa community hukutana eneo hili kubadilishana mawazo pia kujua nini kimejili ndani na nje ya mipaka yetu.............muda muafaka wa kujua usiyoyajua

Maendeleo ya chuo


mkuu wa chuo profesa Bangu akimzungusha mgeni wake profesa Kapuya kutathimini maendeleo ya chuo na pia kujionea shughuli za kibiashara zinazo endelea kwa mahitaji ya wanafunzi

Friday, 27 March 2009

where to play?


ukosefu wa viwanja vya michezo ndio chanzo cha watoto kuchagua sehemu hatalishi kwa ajili ya michezo,jamii izingatie uwepo wa nafasi wazi kwaajili ya michezo.hii itasaidia kujenga uwezo wa vijana ndani ya jamii

vijana wa kazi


mr Bujiku{mwenye tishrt nyeusi} and Rahimu {tshrt nyeupe}wakiwa wanashindana kucheza pool table vijana ni washindani wa kuu ktk mchezo huo.pembeni Amida akitoa ushauri,ibra nae kushoto hayupo nyuma

Tuesday, 17 March 2009

community together party


Ibrahimu mwandenuka na Dany wakiwa wana sakata rumba ktk community togethr pary ilikua poa ile kinooooomaaaa.watu full kula bata upo hapo

mtazamaji

Tour to Bagamoyo


Mr Tizo,Kelvin and Mr Dany having funny at Dar es salaam Railway station were they were on the way to Bagamoyo for External tour during thier form six level of study 2008.Dany told me that it was a fun day for him along side with his friend's.now danny he is studyng at Tumaini university and the others university of dar es salaam and university of dodoma

Monday, 16 March 2009

Seasonal Swamp


to poor allocation of water system in rain season the season swamp occurs which may result into the eruption of desease.government should focus on this also not government only but also for the society around the school as whole, the disease which might erupt are malaria and diarrhea.nuhu

Tumaini Library under contraction


Tumaini administration focus on increasing the numbers of books along side with the area for study were the old library will not accumulate big number of student as the new one.the library view its good and with a lot of rooms for study’s. Hope this will lead us to a better achievement. Photo was taken by Nuhu at Tumaini campus.

Leaning the use of fertilizer


Student of Mkimbizi primary school 06:30am along side with their teacher practice how to apply fertilizer in growing plant and how water useful in plant growth also make decomposition for future use this help them to learn and apply in acture sense in which also student be able to learn the practical way of life.

Restriction of maize production in Town


Iringa region government took a measure to restrict its individual from grown maize in Town area and instead of maize people was advice to grow Beans as it has being shown in the photo at Mkimbizi area was taken by Nuhu. This is a good start to make a good look of the Town and rural remain the productive area. Same places in town were maize have grown big thief’s find as a hiding place’s.

Animal Transport


Iringa region 06:00 pm around Semtema area this photo was taken by Nuhu.there were two people coming from the farm were they went to harvest Tomato’s and their means of transport were Animal Donkey what really interested me was the sound produced by the animal’s when they climb the high hills, this animal have a strong muscular to hold any heavy staff. Also people who own them they don’t think about animal right.

Street Restaurant


Due to poor economy some students finds a better way to take a breakfast in dirty area eventho its risk but all in all we are just making a living. The photo was taken by Machumu George peter in Semtema area at MAMA AMINA RESTAURANT, most student with poor economy find a way here, here the expenses are at minimum price and also the food are so delicious but the only problem is Environmental condition are not conducive

Sunday, 22 February 2009

An ending misery


if you look carefully you will see the tears that are within this people and how their hope to god is....also they wish to have a good life as we do...may god gave them streingth to stand up....

Is this agood life?


think about the life if it was you or any one whom you love are we realy living in the same world or we need to have help or not???????????????????????????just think about it

Defence forces


Tanzania People Defence forces servicemen show off their skills after completing their training at Makutupora in Dodoma yesterday.its good

Together after many years to pass


nuhu85

after many years we were not seing each other,its me and my aunt Rose,she is sick at the time i went to see her,she block her leg at Nairobi airpot when she was on the way.